Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 20:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini waliniasi, hawakutaka kunisikiliza. Hakuna hata mmoja wao aliyetupilia mbali machukizo yale waliyoyapenda, wala hawakuachana na sanamu za miungu ya Misri. Basi, nikafikiri kwamba nitawamwagia ghadhabu yangu na kuitimiza hasira yangu juu yao wakiwa kulekule nchini Misri.

Kusoma sura kamili Ezekieli 20

Mtazamo Ezekieli 20:8 katika mazingira