Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 20:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Waambie kwamba mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Siku ile nilipowachagua Waisraeli niliwaapia wazawa wa Yakobo. Nilijidhihirisha kwao nchini Misri, nikawaapia nikisema: Mimi ni Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 20

Mtazamo Ezekieli 20:5 katika mazingira