Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 18:30 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kwa hiyo, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu, nasema hivi: Nitawahukumu nyinyi Waisraeli, kila mmoja wenu, kulingana na mwenendo wake. Tubuni na kuachana na makosa yenu, yasije yakawaangamiza.

Kusoma sura kamili Ezekieli 18

Mtazamo Ezekieli 18:30 katika mazingira