Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 14:21 Biblia Habari Njema (BHN)

“Lakini mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema: Tena nitauadhibu Yerusalemu kwa mapigo yangu manne ya hukumu kali: Vita, njaa, wanyama wakali na maradhi mabaya, niwatokomeze humo watu na wanyama!

Kusoma sura kamili Ezekieli 14

Mtazamo Ezekieli 14:21 katika mazingira