Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 14:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Na hata kama Noa, Danieli na Yobu wangelikuwa humo, kama niishivyo mimi Bwana Mwenyezi-Mungu, kweli hawangeweza kumwokoa hata mtoto wao mmoja wa kiume au wa kike. Wangeyaokoa tu maisha yao wenyewe kwa uadilifu wao.

Kusoma sura kamili Ezekieli 14

Mtazamo Ezekieli 14:20 katika mazingira