Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 12:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Wao ni watu waasi. Basi, ewe mtu, fanya kama vile unakwenda uhamishoni: Ondoka wakiwa wanakuona, ukimbilie mahali pengine. Nenda kama mkimbizi kutoka mahali ulipo mpaka mahali pengine wao wakikuona. Labda wataelewa, ingawa wao ni waasi.

Kusoma sura kamili Ezekieli 12

Mtazamo Ezekieli 12:3 katika mazingira