Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 10:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kiumbe mmoja akanyosha mkono wake kuchukua moto uliokuwa katikati ya viumbe wenye mabawa, akatwaa sehemu yake na kuutia mikononi mwa yule mtu aliyevaa mavazi ya kitani; naye alipoupokea, akaenda zake.

Kusoma sura kamili Ezekieli 10

Mtazamo Ezekieli 10:7 katika mazingira