Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 10:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu alipomwamuru yule mtu aliyevaa mavazi ya kitani achukue moto toka katikati ya magurudumu yaliyokuwa chini ya viumbe wenye mabawa, yule mtu alikwenda na kusimama pembeni mwa gurudumu mojawapo.

Kusoma sura kamili Ezekieli 10

Mtazamo Ezekieli 10:6 katika mazingira