Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 2:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Kipindi cha hao wasichana kujiremba na kujitia uzuri kilichukua mwaka mmoja: Miezi sita ya kwanza walitumia mafuta ya manemane, na miezi sita ya mwisho walitumia manukato na mafuta mengineyo. Baada ya hapo, kila mwali, peke yake, alipelekwa kwa mfalme Ahasuero.

Kusoma sura kamili Esta 2

Mtazamo Esta 2:12 katika mazingira