Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 5:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Alifukuzwa mbali na wanaadamu, akili yake ikafanywa kama ya mnyama, akaishi na pundamwitu, akawa anakula majani kama ng'ombe. Alinyeshewa mvua mwilini mpaka alipotambua kwamba Mungu Mkuu ndiye atawalaye falme za wanaadamu, naye humweka mfalme yeyote amtakaye.

Kusoma sura kamili Danieli 5

Mtazamo Danieli 5:21 katika mazingira