Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 3:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, naamuru kwamba watu wa kabila lolote, taifa lolote au lugha yoyote, watakaosema kitu chochote dhidi ya Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego, watangolewa viungo vyao kimojakimoja na nyumba zao zitabomolewa. Maana hakuna mungu mwingine awezaye kuokoa namna hii.”

Kusoma sura kamili Danieli 3

Mtazamo Danieli 3:29 katika mazingira