Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 3:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mfalme Nebukadneza akasema, “Na asifiwe Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego kwa kuwa alimtuma malaika wake na kuwaokoa watumishi wake ambao wanamtegemea. Wao walikataa kutii amri yangu ya kifalme, wakaitoa mhanga miili yao badala ya kuabudu mungu mwingine, ila Mungu wao peke yake.

Kusoma sura kamili Danieli 3

Mtazamo Danieli 3:28 katika mazingira