Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 2:44 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati wa wafalme hao, Mungu wa mbinguni ataanzisha ufalme ambao kamwe hautaangamizwa. Watu wengine hawataushinda na kuutawala ufalme huo, bali ufalme huo utaziponda na kuzikomesha falme zilizotangulia, nao utadumu milele.

Kusoma sura kamili Danieli 2

Mtazamo Danieli 2:44 katika mazingira