Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 7:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana Mwenyezi-Mungu alilifanya jeshi la Waaramu lisikie sauti kama ya jeshi kubwa lililokuwa na magari na farasi. Waaramu wakadhani kuwa mfalme wa Israeli amekodisha majeshi ya Wahiti na Wamisri kuja kuwashambulia.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 7

Mtazamo 2 Wafalme 7:6 katika mazingira