Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 7:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye mfalme alikuwa amemweka ofisa mlinzi wake kulinda lango la mji. Ofisa huyo alikanyagwa papo hapo langoni na kuuawa na watu, kama vile Elisha mtu wa Mungu alivyotabiri wakati mfalme alipokwenda kumwona.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 7

Mtazamo 2 Wafalme 7:17 katika mazingira