Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 7:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wa Samaria wakatoka na kuteka nyara kambi ya Waaramu. Kama vile Mwenyezi-Mungu alivyosema: Kilo tano za unga safi wa ngano au kilo kumi za shayiri ziliuzwa kwa kipande kimoja cha fedha.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 7

Mtazamo 2 Wafalme 7:16 katika mazingira