Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 6:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo akatuma mjumbe kwenda kumleta Elisha.Wakati huohuo Elisha alikuwa nyumbani pamoja na wazee waliomtembelea. Kabla ya mjumbe wa mfalme kufika, Elisha akawaambia wazee, “Yule muuaji amemtuma mtu kuja kunikata kichwa! Atakapofika hapa, fungeni mlango, wala msimruhusu aingie. Pia bwana wake anamfuata nyuma.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 6

Mtazamo 2 Wafalme 6:32 katika mazingira