Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 23:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme pia alipatia unajisi mahali pa kuabudia palipokuwa upande wa mashariki ya Yerusalemu na kuelekea upande wa mlima wa Ufisadi, mahali mfalme wa Israeli alipopajenga kwa ajili ya Ashtarothi chukizo la Wasidoni, Kemoshi chukizo la Moabu na pia kwa ajili ya Milkomu chukizo la Waamoni.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 23

Mtazamo 2 Wafalme 23:13 katika mazingira