Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 23:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Madhabahu ambayo wafalme wa Yuda walijenga paani kwenye chumba cha juu cha Ahazi, pamoja na madhabahu ambayo Manase alijenga katika nyua mbili za nyumba ya Mwenyezi-Mungu aliyabomoa na kuyapondaponda, kisha alitupa mavumbi yake katika kijito cha Kidroni.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 23

Mtazamo 2 Wafalme 23:12 katika mazingira