Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 22:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo kuhani Hilkia, Ahikamu, Akbori, Shafani na Asaya, wote walikwenda kwa mama mmoja nabii jina lake Hulda aliyekuwa mke wa Shalumu, mwana wa Tikva, mwana wa Harhasi, mtunza mavazi ya hekalu. Wakati huo Hulda alikuwa anaishi katika mtaa wa pili wa Yerusalemu, nao wakazungumza naye.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 22

Mtazamo 2 Wafalme 22:14 katika mazingira