Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 22:13 Biblia Habari Njema (BHN)

“Nendeni mkatafute shauri kutoka kwa Mwenyezi-Mungu kwa niaba yangu na watu wa Yuda wote kuhusu maneno ya kitabu hiki kilichopatikana kwa sababu ghadhabu ya Mwenyezi-Mungu imewaka juu yetu, maana babu zetu hawakutii maneno ya kitabu hiki, na kutimiza yote yaliyoandikwa kutuhusu.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 22

Mtazamo 2 Wafalme 22:13 katika mazingira