Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 20:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitakuongezea miaka kumi na mitano ya kuishi. Nitakuokoa wewe pamoja na mji huu mikononi mwa mfalme wa Ashuru. Nitaulinda mji huu kwa ajili ya heshima yangu mimi na kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 20

Mtazamo 2 Wafalme 20:6 katika mazingira