Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 20:5 Biblia Habari Njema (BHN)

“Rudi ukamwambie Hezekia, mkuu wa watu wa Mwenyezi-Mungu: Mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu yako Daudi, nimesikia ombi lako na nimeona machozi yako. Nitakuponya na baada ya siku tatu utakwenda katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 20

Mtazamo 2 Wafalme 20:5 katika mazingira