Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 20:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Hezekia akawakaribisha na kuwaonesha mali yake: Nyumba yake ya hazina, fedha, dhahabu, viungo vya kukolezea chakula, mafuta ya thamani na nyumba ya vifaa vyake vyote vya kijeshi na vitu vyote vilivyokuwamo katika bohari zake. Hakukuwa chochote katika ikulu yake, au nchi yake ambacho hakuwaonesha.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 20

Mtazamo 2 Wafalme 20:13 katika mazingira