Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 20:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo, mfalme Merodak-baladani mwana wa Baladani mfalme wa Babuloni alisikia kuwa Hezekia alikuwa ameugua na sasa amepona, akamtumia ujumbe pamoja na zawadi.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 20

Mtazamo 2 Wafalme 20:12 katika mazingira