Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 2:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Manabii hamsini wakawafuata mpaka mtoni Yordani. Elia na Elisha wakasimama karibu na mto, nao manabii wakasimama mbali kidogo.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 2

Mtazamo 2 Wafalme 2:7 katika mazingira