Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 2:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Elia akamwambia Elisha, “Tafadhali wewe kaa hapa; Mwenyezi-Mungu amenituma niende mtoni Yordani.” Lakini Elisha akasema, “Naapa kwamba kama Mwenyezi-Mungu aishivyo na kama wewe mwenyewe uishivyo sitakuacha.” Basi, wakaenda pamoja.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 2

Mtazamo 2 Wafalme 2:6 katika mazingira