Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 2:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye walipokuwa njiani, Elia alimwambia Elisha, “Tafadhali wewe kaa hapa; Mwenyezi-Mungu amenituma niende Betheli.”Lakini Elisha akamwambia, “Naapa kwamba kama Mwenyezi-Mungu aishivyo na kama wewe mwenyewe uishivyo, sitakuacha.” Basi, wakaenda pamoja hadi Betheli.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 2

Mtazamo 2 Wafalme 2:2 katika mazingira