Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 2:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Ikawa wakati ulipofika ambapo Mwenyezi-Mungu alitaka kumchukua Elia mbinguni katika upepo wa kisulisuli, Elia na Elisha walikuwa njiani, wakitoka Gilgali.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 2

Mtazamo 2 Wafalme 2:1 katika mazingira