Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 17:38-41 Biblia Habari Njema (BHN)

38. wala msisahau agano nililofanya nanyi; msiiabudu miungu mingine, bali

39. mtaniabudu mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, nami nitawaokoa kutoka mikononi mwa adui zenu.”

40. Lakini watu hao hawakusikiliza, bali waliendelea kutenda kama walivyofanya hapo awali.

41. Basi mataifa haya yalimwabudu Mwenyezi-Mungu, lakini pia yalitumikia sanamu zao za kusubu; na mpaka sasa hivi, wazawa wao wanaendelea kutenda hivyo kama walivyotenda babu zao.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 17