Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 17:41 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi mataifa haya yalimwabudu Mwenyezi-Mungu, lakini pia yalitumikia sanamu zao za kusubu; na mpaka sasa hivi, wazawa wao wanaendelea kutenda hivyo kama walivyotenda babu zao.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 17

Mtazamo 2 Wafalme 17:41 katika mazingira