Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 17:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu watu walimwambia mfalme wa Ashuru, “Mataifa uliyochukua na kuyaweka katika miji ya Samaria hayakujua hukumu za Mungu wa nchi hiyo, kwa hiyo Mungu huyo alituma simba ambao wanawaua.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 17

Mtazamo 2 Wafalme 17:26 katika mazingira