Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 14:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Amazia aliwaua Waedomu 10,000 katika Bonde la Chumvi; aliutwaa kwa nguvu mji wa Sela na kuuita Yoktheeli, na hivi ndivyo unavyoitwa mpaka sasa.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 14

Mtazamo 2 Wafalme 14:7 katika mazingira