Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 14:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini hakuwaua watoto wa wauaji; kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Sheria za Mose, Mwenyezi-Mungu anapotoa amri akisema, “Wazazi hawatauawa kwa ajili ya watoto wao, wala watoto hawatauawa kwa ajili ya wazazi wao; bali kila mtu atauawa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 14

Mtazamo 2 Wafalme 14:6 katika mazingira