Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 14:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Yehoashi alifariki, akazikwa katika makaburi ya kifalme huko Samaria. Mwanae, Yeroboamu akatawala mahali pake.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 14

Mtazamo 2 Wafalme 14:16 katika mazingira