Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 14:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Alichukua dhahabu yote na fedha, hata na vifaa vyote vilivyokuwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu na katika hazina ya ikulu; pia alichukua mateka, kisha akarudi Samaria.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 14

Mtazamo 2 Wafalme 14:14 katika mazingira