Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 14:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Yehoashi mfalme wa Israeli alimteka Amazia mfalme wa Yuda, mwana wa Yehoashi, mwana wa Ahazia huko Beth-shemeshi; halafu akauendea Yerusalemu na kuubomoa ukuta wake kutoka Lango la Efraimu mpaka Lango la Pembeni, umbali wa karibu mita 200.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 14

Mtazamo 2 Wafalme 14:13 katika mazingira