Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 11:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha kuhani Yehoyada akaamuru makapteni wa jeshi akisema; “Mtoeni nje katikati ya askari, na ueni mtu yeyote atakayemfuata.” Kwa sababu kuhani alisema, “Asiuawe katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 11

Mtazamo 2 Wafalme 11:15 katika mazingira