Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 11:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Alipochungulia akamwona mfalme mpya amesimama karibu na nguzo kwenye lango la hekalu, kama ilivyokuwa desturi, huku makapteni na wapiga tarumbeta wakiwa kando ya mfalme; na wakazi wote wakishangilia na kupiga tarumbeta; ndipo aliporarua nguo zake na kusema kwa sauti kubwa, “Uhaini! Uhaini!”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 11

Mtazamo 2 Wafalme 11:14 katika mazingira