Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 10:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu Yehu akaingia katika hekalu la Baali akifuatana na Yehonadabu na kuwaambia waliokuwa hekaluni, “Hakikisheni kwamba waliomo hekaluni ni wale wamwabuduo Baali tu, na kwamba hakuna mtu yeyote anayemwabudu Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 10

Mtazamo 2 Wafalme 10:23 katika mazingira