Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 1:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye Ahazia akafariki kama Mwenyezi-Mungu alivyomwambia nabii wake Elia. Na, kwa kuwa Ahazia hakuwa na mtoto wa kiume, Yoramu akawa mfalme mahali pake, katika mwaka wa pili wa utawala wa Yehoramu mwana wa Yehoshafati, mfalme wa Yuda.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 1

Mtazamo 2 Wafalme 1:17 katika mazingira