Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 1:16 Biblia Habari Njema (BHN)

akamwambia, “Mwenyezi-Mungu asema hivi: ‘Kwa sababu ulituma wajumbe kumtaka shauri Baal-zebubu, mungu wa Ekroni – kana kwamba hapakuwa na Mungu katika Israeli ambaye ungemwomba shauri – basi, hutashuka katika kitanda ulichopanda; hakika utakufa.’”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 1

Mtazamo 2 Wafalme 1:16 katika mazingira