Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 1:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Baada ya kifo cha Ahabu, watu wa Moabu waliasi wasitawaliwe na Israeli.

2. Mfalme Ahazia alipokuwa Samaria alianguka kutoka chumba kilichokuwa paani mwa nyumba yake, akaumia vibaya. Kwa hiyo akawatuma wajumbe, akawaambia, “Nendeni kwa Baal-zebubu, mungu wa mji wa Ekroni, mkamwulize kama nitapona ugonjwa huu.”

3. Lakini malaika wa Mwenyezi-Mungu akamwambia nabii Elia kutoka Tishbe, aende kukutana na wajumbe hao na kuwauliza, “Kwa nini mnakwenda kwa Baal-zebubu, mungu wa Ekroni? Je, hakuna Mungu nchini Israeli?

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 1