Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 1:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Ahazia alipokuwa Samaria alianguka kutoka chumba kilichokuwa paani mwa nyumba yake, akaumia vibaya. Kwa hiyo akawatuma wajumbe, akawaambia, “Nendeni kwa Baal-zebubu, mungu wa mji wa Ekroni, mkamwulize kama nitapona ugonjwa huu.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 1

Mtazamo 2 Wafalme 1:2 katika mazingira