Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 9:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme akamwuliza, “Je, hakuna mtu yeyote aliyesalia katika jamaa ya Shauli? Kama yuko, ningependa kumtendea wema wa Mungu.” Siba akamjibu, “Yuko mwana wa Yonathani, lakini yeye amelemaa miguu.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 9

Mtazamo 2 Samueli 9:3 katika mazingira