Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 9:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulikuwa na mtumishi wa jamaa ya Shauli aliyeitwa Siba. Siba aliitwa kwenda kwa Daudi. Mfalme Daudi alimwuliza, “Je wewe ndiye Siba?” Naye akamjibu, “Naam, mimi mtumishi wako ndiye.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 9

Mtazamo 2 Samueli 9:2 katika mazingira