Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 8:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi pia alimshinda Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba. Daudi alipata ushindi huu wakati Hadadezeri alipokuwa njiani kwenda kulirudisha eneo la mto Eufrate kuwa chini ya utawala wake.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 8

Mtazamo 2 Samueli 8:3 katika mazingira