Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 8:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha aliwashinda Wamoabu. Aliwapanga katika mistari mateka hao, na kuwalaza chini. Aliamuru wale waliokuwa katika mistari miwili wauawe na wale wa mstari wa tatu waachwe hai. Hivyo, Wamoabu wakawa watumishi wake Daudi na wakawa wanamlipa kodi.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 8

Mtazamo 2 Samueli 8:2 katika mazingira