Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 7:4-7 Biblia Habari Njema (BHN)

4. Lakini usiku uleule neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Nathani,

5. “Nenda ukamwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Mwenyezi-Mungu asema hivi: Je, wewe utanijengea nyumba ya kukaa?

6. Tangu siku ile nilipowatoa Waisraeli nchini Misri mpaka hivi leo sijaishi kwenye nyumba. Nimetembea kila mahali nikiwa ninakaa hemani.

7. Je, kila mahali ambako nimekwenda na Waisraeli wote nimemwuliza mtu yeyote wa Israeli ambaye nilimwamuru awachunge watu wa Israeli: Kwa nini hajanijengea nyumba ya mierezi?

Kusoma sura kamili 2 Samueli 7