Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 7:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo basi, mwambie mtumishi wangu Daudi: Mwenyezi-Mungu wa majeshi anasema hivi: Nilikutoa malishoni ulikokuwa unawachunga kondoo, ili uwe mkuu wa watu wangu Israeli.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 7

Mtazamo 2 Samueli 7:8 katika mazingira